KUMB: PPR/17 - 07/1 TAARIFA KWA UMMA KUHUSU BEI KIKOMO ZA MAFUTA AINA YA PETROLI KUANZIA JUMAMOSI, TAREHE 1 JULAI 2017 Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA), inatangaza bei kikomo za bidhaa za mafuta ya petroli hapa nchini. Bei hizi zitaanza kutumika kuanzia Jumamosi, Tarehe 1 Julai 2017. Pamoja na kutambua bei kikomo za bidhaa mbalimbali za petroli nchi nzima, ni muhimu kuzingatia yafuatayo:-

(a)

Bei za jumla na rejareja kwa mafuta ya aina zote yaani Petroli, Dizeli na Mafuta ya Taa zimepungua ikilinganishwa na toleo lililopita la tarehe 7 Juni 2017. Kwa mwezi Julai 2017, bei za rejareja za Petroli, Dizeli na Mafuta ya Taa zimepungua kwa TZS 37/lita sawa na asilimia 1.81, TZS 14/lita sawa na asilimia 0.73, na TZS 19/lita sawa na asilimia 1.03, sawia. Vilevile, kwa kulinganisha na toleo la mwezi uliopita, bei za jumla za Petroli, Dizeli na Mafuta ya Taa nazo zimepungua kwa TZS 37.21/lita sawa na asilimia 1.92, TZS 13.70/lita sawa na asilimia 0.77, na TZS 18.85/lita sawa na asilimia 1.10, sawia. Pamoja na ongezeka la ushuru wa bidhaa za mafuta ya petroli la TZS 40/lita kuanzia mwezi Julai 2017, bei za mafuta kwenye soko la ndani zimepungua, kwa kiasi kikubwa kupungua huku kumetokana na kushuka kwa bei za mafuta katika soko la dunia na gharama za usafirishaji mafuta hayo (BPS premiums).

(b)

Bei za jumla na rejareja kwa mafuta ya Petroli na Dizeli zimeongezeka katika mkoa wa Tanga ikilinganishwa na toleo lililopita la tarehe 7 Juni 2017. Kwa mwezi Julai 2017, bei za rejareja za Petroli na Dizeli zimeongezeka kwa TZS 43/lita sawa na asilimia 2.19 na TZS 4/lita, sawa na asilimia 0.21, sawia. Aidha, bei za jumla kwa mafuta ya Petroli na Dizeli katika mkoa wa Tanga nazo zimepungua kwa TZS 43.07/lita sawa na asilimia 2.33 na TZS 3.81/lita sawa na asilimia 0.22, sawia. Ongezeko la bei za mafuta ya Petroli na Dizeli kwa mkoa wa Tanga linatokana na mabadiliko ya bei za mafuta katika soko la dunia kwa mzigo mpya uliopokelewa katika bandari ya Tanga mwezi Juni 2017 ukilinganisha na bei ya mzigo wa mwisho kupokelewa katika bandari hiyo mwezi Aprili 2017. Kutokana na kutokupokea mzigo mpya wa Mafuta ya Taa katika bandari ya Tanga kwa mwezi Juni 2017, Wamiliki wa Vituo vya Mafuta mkoa wa Tanga wanashauriwa kununua mafuta hayo kutoka Dar es Salaam. Hivyo, bei za rejareja za Mafuta ya Taa kwa mkoa wa Tanga zitatokana na gharama za mafuta hayo yaliyopokelewa kwenye bandari ya Dar es Salaam na kusafirishwa hadi Tanga.

(c)

Ni vizuri ikumbukwe ya kwamba, katika Bunge la Bajeti linaloendelea Dodoma, Bunge lilipitisha Muswada wa mabadiliko ya Ushuru wa Bidhaa za mafuta ya petroli yaani Petroli, Dizeli na Mafuta ya Taa ambapo Shilingi 40 kwa kila lita moja ya mafuta hayo zimeongezwa kwenye viwango vya awali vya Ushuru wa Bidhaa uliokuwa unatozwa. Muswada umeainisha ya kwamba, ongezeko hilo la Shilingi 40 kwa lita litekelezwe kuanzia tarehe 1 Julai, 2017. Kwa kuzingatia muswada huo uliopitishwa na Bunge bajeti, katika ukokotoaji wa bei za mafuta ya petroli kwa mwezi Julai, 2017, EWURA imeongeza gharama ya Shilingi 40 kwa lita moja kwa mafuta ya Petroli, Dizeli na Mafuta ya Taa. 1

(a)

Mamlaka inapenda kuukumbusha umma kwamba bei kikomo za mafuta kwa eneo husika, zinapatikana vile vile kupitia simu za mkononi kwa kupiga namba

*152*00#

na kisha kufuata maelekezo.

Huduma hii ni bure na inapatikana kupitia mitandao yote ya simu za mkononi hapa nchini. (b)

Kwa mujibu wa Sheria ya Mafuta ya mwaka 2015, bei za bidhaa za mafuta ya petroli zitaendelea kupangwa na soko. EWURA itaendelea kuhamasisha ushindani kwa kutoa taarifa za bei kikomo za bidhaa za mafuta. Taarifa hizi zina lengo la kuwasaidia wadau kufanya maamuzi stahiki kuhusu manunuzi ya bidhaa za mafuta.

(c)

Kampuni za mafuta zipo huru kuuza bidhaa za mafuta ya petroli kwa bei ya ushindani mradi tu bei hizo ziwe chini ya bei kikomo (price cap) kama ilivyokokotolewa na kanuni (formula) iliyopitishwa na EWURA na ambayo ilichapishwa katika Gazeti la Serikali Na. 216/2017 la mwezi Mei 2017.

(d)

Vituo vyote vya mafuta vinatakiwa kuchapisha bei za bidhaa za mafuta katika mabango yanayoonekana bayana na yakionesha bei ya mafuta, punguzo, vivutio vya biashara au promosheni zinazotolewa na kituo husika. Pale ambapo inawezekana kuchagua, wateja wanashauriwa kununua bidhaa za mafuta katika vituo vinavyouza mafuta kwa bei ndogo zaidi ili kushamirisha ushindani. Ni kosa kuuza mafuta bila kuweka mabango ya bei inayoonekana vizuri kwa wateja. Adhabu kali itatolewa kwa kituo husika kwa kutotekeleza matakwa ya kisheria kwa mujibu wa kanuni husika.

(e)

Wanunuzi wahakikishe wanapata stakabadhi ya malipo inayoonesha jina la kituo, tarehe, aina ya mafuta yaliyonunuliwa na bei kwa lita. Stakabadhi hiyo ya malipo itatumika kama kidhibiti cha mnunuzi wa mafuta endapo kutajitokeza malalamiko ya aidha kuuziwa mafuta kwa bei ya juu kuliko bei kikomo au kuuziwa mafuta yenye kiwango cha ubora kisichofaa.

2

A: BEI ZA REJAREJA

Mji Dar es Salaam Arusha Arumeru (Usa West) Karatu Monduli Monduli-Makuyuni Ngorongoro (Loliondo) Kibaha Bagamoyo Kisarawe Mkuranga Rufiji Dodoma Bahi Chemba Kondoa Kongwa Mpwapwa Iringa Kilolo Mufindi (Mafinga) Njombe Ludewa Makete Wanging'ombe (Igwachanya) Bukoba Biharamulo Karagwe (Kayanga) Kyerwa (Ruberwa) Muleba Ngara Misenyi Geita Bukombe Chato Mbogwe Nyang'hwale Kigoma Uvinza (Lugufu)

Petroli (Shs/Lita) 2,014 2,098 2,098 2,117 2,104 2,108 2,190 2,019 2,025 2,021 2,024 2,042 2,073 2,080 2,099 2,106 2,070 2,074 2,078 2,083 2,088 2,106 2,144 2,137 2,104 2,229 2,204 2,246 2,251 2,229 2,195 2,238 2,179 2,168 2,200 2,217 2,194 2,245 2,257 3

Bei Kikomo Dizeli (Shs/Lita) 1,874 1,958 1,958 1,976 1,963 1,968 2,049 1,879 1,885 1,881 1,884 1,902 1,933 1,940 1,959 1,965 1,930 1,934 1,938 1,942 1,948 1,966 2,004 1,997 1,964 2,089 2,063 2,105 2,111 2,089 2,054 2,097 2,039 2,028 2,060 2,077 2,054 2,105 2,117

Mafuta ya Taa (Shs/Lita) 1,806 1,890 1,890 1,908 1,895 1,900 1,981 1,810 1,817 1,813 1,815 1,833 1,864 1,872 1,891 1,897 1,862 1,865 1,870 1,874 1,880 1,898 1,936 1,929 1,896 2,021 1,995 2,037 2,043 2,021 1,986 2,029 1,971 1,960 1,992 2,009 1,986 2,037 2,049

Buhigwe Kakonko Kasulu Kibondo Moshi Hai (Bomang'ombe) Mwanga Rombo (Mkuu) Same Siha (Sanya Juu) Lindi Lindi-Mtama Kilwa Masoko Liwale Nachingwea Ruangwa Babati Hanang (Katesh) Kiteto (Kibaya) Mbulu Simanjiro (Orkasumet) Musoma Musoma Vijijini (Busekela) Rorya (Ingirijuu) Rorya (Shirati) Bunda Butiama Serengeti (Mugumu) Tarime Mbeya Chunya Chunya (Makongolosi) Ileje Kyela Mbarali (Rujewa) Mbozi (Vwawa) Momba (Chitete) Rungwe (Tukuyu) Morogoro Mikumi Kilombero (Ifakara) Kilombero (Mlimba) Kilombero (Mngeta) Ulanga (Mahenge) Malinyi

2,234 2,202 2,231 2,209 2,088 2,091 2,081 2,109 2,074 2,094 2,073 2,091 2,048 2,094 2,102 2,104 2,136 2,147 2,147 2,149 2,168 2,192 2,233 2,201 2,236 2,184 2,189 2,238 2,203 2,121 2,131 2,145 2,134 2,137 2,105 2,130 2,139 2,130 2,039 2,055 2,077 2,099 2,089 2,088 2,098 4

2,094 2,062 2,091 2,069 1,948 1,951 1,941 1,968 1,934 1,954 1,933 1,951 1,908 1,954 1,962 1,964 1,996 2,007 2,007 2,009 2,028 2,052 2,093 2,061 2,096 2,043 2,049 2,098 2,063 1,981 1,990 2,004 1,994 1,997 1,965 1,990 1,999 1,990 1,899 1,915 1,937 1,959 1,948 1,947 1,958

2,026 1,994 2,023 2,001 1,879 1,882 1,872 1,900 1,866 1,886 1,864 1,882 1,839 1,885 1,894 1,895 1,928 1,938 1,939 1,941 1,960 1,984 2,024 1,993 2,027 1,975 1,981 2,029 1,995 1,913 1,922 1,936 1,926 1,928 1,897 1,922 1,931 1,921 1,831 1,846 1,868 1,891 1,880 1,879 1,889

Kilosa Gairo Mvomero (Wami Sokoine) Turian Mtwara Nanyumbu (Mangaka) Masasi Newala Tandahimba Mwanza Kwimba Magu Misungwi Sengerema Ukerewe Sumbawanga Kalambo (Matai) Nkasi (Namanyele) Katavi (Mpanda) Mlele (Inyonga) Songea Mbinga Namtumbo Nyasa (Mbamba Bay) Tunduru Shinyanga Kahama Kishapu Simiyu (Bariadi) Busega (Nyashimo) Itilima (Lagangabilili) Maswa Meatu (Mwanhuzi) Singida Iramba Manyoni Ikungi Mkalama (Nduguti) Tabora Igunga Kaliua Ulyankulu Nzega Sikonge Urambo

2,058 2,058 2,050 2,064 2,087 2,135 2,112 2,119 2,112 2,164 2,200 2,172 2,170 2,196 2,223 2,187 2,179 2,200 2,222 2,200 2,137 2,171 2,167 2,173 2,196 2,143 2,157 2,171 2,184 2,177 2,187 2,176 2,183 2,105 2,117 2,089 2,100 2,129 2,168 2,122 2,186 2,180 2,133 2,180 2,181 5

1,917 1,917 1,909 1,924 1,946 1,995 1,972 1,978 1,971 2,024 2,060 2,032 2,029 2,056 2,083 2,046 2,039 2,060 2,081 2,060 1,997 2,031 2,026 2,033 2,056 2,003 2,016 2,031 2,044 2,037 2,047 2,035 2,042 1,964 1,977 1,949 1,960 1,989 2,028 1,982 2,046 2,040 1,992 2,040 2,041

1,849 1,849 1,841 1,856 1,878 1,927 1,904 1,910 1,903 1,955 1,992 1,963 1,961 1,988 2,015 1,978 1,971 1,992 2,013 1,992 1,929 1,962 1,958 1,965 1,988 1,934 1,948 1,963 1,976 1,969 1,979 1,967 1,974 1,896 1,908 1,881 1,892 1,921 1,960 1,914 1,978 1,972 1,924 1,971 1,973

2,006 2,026 2,041 2,018 2,027 2,013 2,010 2,012

Tanga Handeni Kilindi Korogwe Lushoto Mkinga (Maramba) Muheza Pangani

Bei za Jumla DSM Bei Kikomo

Bei za Jumla-TANGA

1,862 1,883 1,898 1,874 1,884 1,869 1,867 1,869

B: BEI ZA JUMLA Petroli (Sh/L) Dizeli (Sh/L) 1,903.33

1,762.98

1,852 1,831 1,866 1,845 1,854 1,866 1,852 1,858

Mafuta ya Taa (Sh/L) 1,694.66

Petroli (Sh/L)

Dizeli (Sh/L)

1,894.68

1,751.09

Bei Kikomo

Eng. Godwin Samwel

KAIMU MKURUGENZI MKUU EWURA

6

Bei mpya za mafuta Tz.pdf

Loading… Page 1. Whoops! There was a problem loading more pages. Retrying... Main menu. Displaying Bei mpya za mafuta Tz.pdf.

248KB Sizes 20 Downloads 210 Views

Recommend Documents

Bei mpya za mafuta Tz.pdf
Retrying... Download. Connect more apps... Try one of the apps below to open or edit this item. Bei mpya za mafuta Tz.pdf. Bei mpya za mafuta Tz.pdf. Open.

Bei mpya za mafuta Tz.pdf
Page 1. Whoops! There was a problem loading more pages. Retrying... Bei mpya za mafuta Tz.pdf. Bei mpya za mafuta Tz.pdf. Open. Extract. Open with. Sign In.

Ausschreibung_WerkstudentIn Softwareentwicklung bei ORY.pdf ...
Retrying... Whoops! There was a problem previewing this document. Retrying... Download. Connect more apps... Try one of the apps below to open or edit this item. Ausschreibung_WerkstudentIn Softwareentwicklung bei ORY.pdf. Ausschreibung_WerkstudentIn

Ausschreibung_Softwareentwicklung bei ORY.pdf
Try one of the apps below to open or edit this item. Ausschreibung_Softwareentwicklung bei ORY.pdf. Ausschreibung_Softwareentwicklung bei ORY.pdf. Open.

Internationalisierung bei XML.pdf
There was a problem previewing this document. Retrying... Download. Connect more apps... Try one of the apps below to open or edit this item.

Verfügbarkeit MUR bei Rossmann.pdf
There was a problem previewing this document. Retrying... Download. Connect more apps... Try one of the apps below to open or edit this item. Verfügbarkeit ...

TEHNIČAR ZA MEHATRONIKU I TEHNIČAR ZA ...
-TM-2. 40. Izrada zadataka za rad u Catia-i TM-TM-3 ... TEHNIČAR ZA MEHATRONIKU I TEHNIČAR ZA MEHATRONIKU NOVI STRUKOVNI KURIKULUM.pdf.

Programm bei Yoga Vidya Bad Meinberg
nen, mir einen Gutschein für eine Yoga-Fortbildung zu schen- ken, und den bekam ich auch, zusammen mit dem Katalog von. Yoga Vidya! Wie Yoga mein Leben verändert hat. Nachdem ich darin einige Male geblättert hatte war klar: ich mache keine Fortbil

Programm bei Yoga Vidya Bad Meinberg
cher sein, dass man das Mantra täglich mindestens 20 Minuten wiederholen und täglich 20 Minuten lang mit dem Mantra meditieren will. Dann muss man jemanden finden, der die Mantraweihe geben kann und dazu bereit ist. In allen Yoga Vidya Ashrams gibt

Nafasi-za-Utawala.pdf
18 Thadei Peter Leonard M. Box 1249 Dodoma, 0659999440. [email protected]. 19 Hamza Hamadi M Box 70573 DSM,0716145959. 20 Betty Judica Mushi F. Box 259 Dodoma,. [email protected], 0674056638. 21 Faustina Rajab Mgallah F Box 36162, DSM, 07

Nafasi-za-Utawala.pdf
2 Irene William Magoma F. Box 1013 Dodoma, 0765820667,. [email protected]. 3 Anthony Kimolo Fabian M. Box 80008, Kisutu DSM, 0628632542,. [email protected]. 4 Ezra Jombe M Box 0718156291/0757813959. 5 Jonas Juma M Box 1197 Mwanza, 0655856385/0756

Nafasi-za-Utawala.pdf
1 Zablon A. Mwandenga M Box 1247 Dodoma,. 2 Irene William Magoma F. Box 1013 Dodoma, 0765820667,. [email protected]. 3 Anthony Kimolo Fabian M.

Nafasi-za-Utawala.pdf
1 Happymary Martin Shoo F Box 2535 Dodoma, 0756907216. 2 Zuhura Abdallah F ... 20 Betty Judica Mushi F. Box 259 ... Page 3 of 14. Nafasi-za-Utawala.pdf.

Watch Hou Bei Kong Jie (2014) Full Movie Online Free ...
Watch Hou Bei Kong Jie (2014) Full Movie Online Free .Mp4_____________.pdf. Watch Hou Bei Kong Jie (2014) Full Movie Online Free .Mp4_____________.

1.H-za web.pdf
1.H 23. Tenšek, David M. 1.H 24. Tojčić, Matej M. 1.H 25. Tomas, Vito M. 1.H 26. Vidović, Antonio M. Page 1 of 1. 1.H-za web.pdf. 1.H-za web.pdf. Open. Extract.

1.N- za web.pdf
Berišić, Nikola M. 1.N 3. Boras, David Antonio M. 1.N 4. Horvat, Petra Ž. 1.N 5. Hrvaćanin, Lucijan M. 1.N 6. Janković, Bruno M. 1.N 7. Jarni, Jakov M. 1.N 8.

1.M-za web.pdf
1.M 22. Šošić, Franko M. 1.M 23. Tenšek, Daria Ž. 1.M 24. Tkalčević, Patrik M. 1.M 25. Valečić, Krešimir M. 1.M 26. Živoder, Petar M. Page 1 of 1. 1.M-za web.pdf.

TESTOVI SBK za 2015.pdf
.Na slikama su sobraćajni znakovi.Na crticama ispred ispisanih značenja upiÅ¡ite broj. znaka koji mu odgovara. Zabrana polukružnog okretanja ....... Razdvojena ...

tehničar za mehatroniku-kolovoz.pdf
Pneumatika (a) - - 2 -. 23. Upravljanje i regulacija (a) - - 3 -. 24. Senzorika (a) - - 2 - ... (c) Predmeti izbornih sadržaja u 3. razredu mora biti 4 sata tjedno, a u 4.

100bofora - etui za kartice.pdf
Jedan komad 17 x 13,5 cm vanjske tkanine. ‐ Jedan komad 17 x 13,5 cm unutarnje tkanine. ‐ Dva komada 13,4 x 14,5 cm za džepove. ‐ Jedan komad 17 x 13,5 ...

Farma za tov pilica Kotoriba.pdf
Page 1 of 38. Page 1 of 38. Page 2 of 38. Page 2 of 38. Page 3 of 38. Page 3 of 38. Farma za tov pilica Kotoriba.pdf. Farma za tov pilica Kotoriba.pdf. Open.Missing:

vyrocni zprava za 2015.pdf
ZACHRAŇME KINO VARÅ AVA. ZA ROK 2015. SPOLEK ZACHRAŇME KINO VARÅ AVA. IČ: 22609768. FRÝDLANTSKÁ 285/16, 46001 LIBEREC 1. Page 1 of 3 ...

A NAFASI ZA KAZI .pdf
Forestry who attained a minimum of an Upper Second Class Honours degree at. undergraduate level. Must possess knowledge in Computer programs applicable in. research data processing and analysis. 2.4 REMUNARATION PRSS 2. 3.0 THE EASTERN AFRICA STATIST