JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA TUME YA UTUMISHI WA MAHAKAMA

TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI 44 Tume ya Utumishi wa Mahakama ni chombo kilichoundwa kwa mujibu wa aya ya 112(1) ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya mwaka 1977. Aidha, kwa mujibu wa Sheria ya Uendeshaji wa Mahakama Na. 4/2011, Tume ya Utumishi wa Mahakama mbali na kuwa na majukumu mengine inalo jukumu la kuajiri watumishi wa kada mbalimbali wa Mahakama. 1.0

Hivyo, Tume ya Utumishi wa Mahakama inawatangazia Watanzania wenye sifa zilizoainishwa hapo chini kwa kila nafasi ya kazi na ambao wako tayari kufanya kazi katika Ofisi za Mahakama ya Tanzania zilizoko katika Mikoa mbalimbali kuleta maombi yao ya kazi. Nafasi hizo ni Afisa Utumishi Daraja la II – (TGS D) nafasi 7, Afisa Tawala Daraja la II – (TGS D) nafasi 3, Katibu Mahsusi Daraja la III – (TGS B) nafasi 1, Dereva Daraja la II – (TGS B) nafasi 30, Afisa Ugavi Daraja la II Nafasi 3 (TGS.D). 2.0

Afisa Utumishi II (TGS D) - Nafasi 7. 2.1

Sifa: Shahada ya kwanza ya Sayansi ya Jamii au Sanaa kutoka katika Vyuo Vikuu vinavyotambuliwa na Serikali ambao wamejiimarisha (major) katika mojawapo ya fani zifuatazo: Menejimenti ya RasilimaliWatu (Human Resource Management)  Elimu ya Jamii (Sociology)  Utawala na Uongozi (Public Administration)  Mipango ya Watumishi (Manpower Planning)

 Wawe na ujuzi wa kutumia kompyuta.

2.2.

Kazi za Afisa Utumishi Daraja la II:

(i) Kutunza Kumbukumbu sahihi za watumishi wote (ii) Kutafsiri na kushughulikia utekelezaji wa miundo ya utumishi. (iii) Kutafiti, kuchanganua, kupanga na kukadiria idadi ya watumishi wanaohitaji mafunzo. (iv) Kukusanya, kuchambua na kupanga takwimu na kumbukumbu zote zinazohusu mipango ya watumishi. (v) Kushughulikia masuala mbalimbali ya kila siku ya watumishi (vi) Kusimamia OPRAS 3.0

Afisa Tawala II – TGS D – Nafasi 3 3.1 Sifa: Shahada ya kwanza kutoka vyuo Vikuu vinavyotambuliwa na serikali katika fani zifuatazo:     3.2

Kazi za Maafisa Tawala:

(i) (ii) (iii) 4.0

Utawala, Elimu ya Jamii, Sheria (Mwenye cheti cha “Law school”), Menejimenti ya Umma, Uchumi na wenye ujuzi wa kompyuta

Kuweka kumbukumbu za matukio muhimu Kusimamia utekelezaji wa Sheria, Sera, Kanuni na taratibu mbalimbali Kusimamia kazi za utawala na uendeshaji

KATIBU MAHSUSI DARAJA III TGS B – (Nafasi 1)

4.1 Sifa:(i) Kuajiriwa wahitimu wa kidato cha IV waliohudhuria Uhazili na kufaulu mtihani wa Uhazili Hatua ya Tatu.

Mafunzo ya

(ii) Awe amefaulu somo la Hatimkato ya Kiswahili na Kiingereza (Shorthand) maneno 80 kwa dakika moja na (III) Awe amepata mafunzo ya Kompyuta kutoka chuo chochote kinachotambuliwa na Serikali na kupata cheti katika programu za Windows, Microsoft Office, Internet, E-mail na Publisher.

4.2

Kazi za kufanya:-

Katibu Mahsusi Daraja la III atapangiwa kufanya kazi Typing pool au chini ya Katibu Mahsusi mwingine mwenye cheo cha juu kumzidi kwenye ofisi ya Mkuu wa sehemu au kitengo. (i) Kuchapa barua, taarifa na nyaraka za kawaida (ii) Kusaidia kupokea wageni na kuwasaili shida zao, na kuwaelekeza sehemu wanazoweza kushughulikiwa. (iii) Kusaidia kutunza taarifa, kumbukumbu za matukio, miadi, wageni, tarehe za vikao safari za Mkuu wake na ratiba ya kazi zingine zilizopangwa kutekelezwa katika ofisi anamofanyia kazi, na kumuarifu Mkuu wake kwa wakati unaohitajika.

5.0 DEREVA DARAJA LA II TGS B – (Nafasi 30)

5.1 Sifa za Kuingilia:(i) Kuajiriwa mwenye cheti cha kidato cha nne (Form IV) na Leseni ya Daraja la E au C1 ya uendeshaji Magari ambayo amefanyia kazi kwa muda usiopungua mwaka mmoja bila kusababisha ajali. (ii) Awe amehudhuria mafunzo ya msingi ya uendeshaji magari (Basic Driving Course) yanayotolewa na Chuo cha Mafunzo ya Ufundi stadi (VETA) au Chuo kingine kinachotambuliwa na Serikali. (iii) Waombaji wenye cheti cha majaribio ya Ufundi Daraja la II watafikiriwa kwanza.

5.2

(i) (ii)

Kazi za kufanya:-

Kuendesha magari ya abiria, na malori, Kuhakikisha gari na vyombo vyake vipo katika hali nzuri wakati wote, na kufanya uchunguzi wa gari kabla na baada ya safari ili kugundua ubovu unaohitaji matengenezo,

Mwisho wa kupokea barua za maombi hayo ni tarehe 04/06/2018 saa 9:30 Alasiri. 6.0 Barua za maombi ziandikwe kwa mkono wa mwombaji zikionyesha anwani sahihi pamoja na namba ya simu na kuambatisha:- Vivuli vya vyeti vyote vya elimu na mafunzo. - Ufupisho wa taarifa za mwombaji (CV). - Kivuli cha cheti cha kuzaliwa. - Picha mbili za rangi (Passport size) zilizopigwa hivi karibuni. NB.

Nakala za vyeti vya taaluma na vya kidato cha nne/sita vithibitishwe na

Hakimu/Wakili anayetambuliwa na Serikali (True copies of the originals).

7.0 Aidha, inasisitizwa kwamba:7.1 7.2 7.3 kwa

Waombaji wawe na umri kati ya miaka 18 na 44 Maombi yote yapitishwe kwa Katibu Tawala wa wilaya anayoishi mwombaji. Waombaji walio katika Utumishi wa Umma wapitishe maombi yao

waajiri wao wa sasa. 7.4 Waombaji walioacha kazi katika Utumishi wa Umma waeleze kwamba waliacha kazi Serikalini na sababu ya kufanya hivyo. 7.5 Waombaji watakao shinda usaili na kuajiriwa watakuwa watumishi wa Mahakama ya Tanzania. 7.6 Waombaji waliosoma nje ya nchi vyeti vyao vithibitishwe na TCU/NACTE. 7.7 Waombaji waandike majina yao yote matatu kwa kirefu. 7.8 Waombaji waandike nafasi ya kazi wanayoomba nyuma ya bahasha watakazotumia maombi yao. 7.9 Waombaji wasiwe walioachishwa/kufukuzwa kazi kwenye Utumishi wa Umma. 7.10 Waombaji waliostaafishwa katika Utumishi wa Umma hawaruhusiwi Kuomba isipokuwa kama wanakibali cha Katibu Mkuu Kiongozi. 7.11 Uwasilishaji wa taarifa na sifa za kugushi wahusika watachukuliwa hatua za kisheria.

7.10 Mwombaji asiandike barua zaidi ya moja kwa ajili ya kuomba nafasi moja. 7.11 Waombaji wote wasio na sifa zilizotajwa na ambao hawatazingatia mojawapo ya masharti yaliyotajwa hapo juu, maombi yao hayatashughulikiwa. 8.0 Maombi yote yatumwe kwa njia ya posta kwa Katibu, Tume ya Utumishi wa Mahakama ya Tanzania, S.L.P. 8391 , DAR ES SALAAM. Imetolewa na ;-

Katibu, Tume ya Utumishi wa Mahakama, S.L.P 8391, DAR ES SALAAM,

The Judiciary of Tanzania.pdf

(iv) Kukusanya, kuchambua na kupanga takwimu na kumbukumbu. zote zinazohusu mipango ya watumishi. (v) Kushughulikia masuala mbalimbali ya kila siku ...

285KB Sizes 2 Downloads 143 Views

Recommend Documents

pdf-1836\origins-of-the-federal-judiciary-essays-on-the-judiciary-act ...
Retrying... Download. Connect more apps... Try one of the apps below to open or edit this item. pdf-1836\origins-of-the-federal-judiciary-essays-on-the-judiciary-act-of-1789-from-oxford-university-press.pdf. pdf-1836\origins-of-the-federal-judiciary-

introductory notes - NJ Judiciary
Ferolito, 167 N.J. 7, 20 (2001), a plaintiff who was struck in the eye by a golf ball was required to prove “recklessness” to recover from the defendant who failed to ...

letter - House Judiciary Committee
Jun 27, 2017 - that "after more than a year of studying the matter, it has become clear that ... Surveillance Act. In the ordinary course of business, we would be ...

Eric Schmidt Senate Judiciary Committee Responses.pdf ...
MG Siegler, “Why So Siri-ous?”, TechCrunch, October 16, 2011,. http://techcrunch.com/2011/10/16/iphone-siri/. 6. Eric Jackson, “Why Siri Is a Google Killer”, ...

Keith & Jackie Lorman, Charles & Melissa ... - Vermont Judiciary
Plaintiffs sought damages as well as injunctive relief requiring the City to remedy the storm/wastewater system near their property to prevent future damages.1.

Letter to Goodlatte 3.10.17 - Committee on the Judiciary - Democrats
Mar 10, 2017 - investigation in this area is overseen by acting Deputy Attorney General Dana Boente, a career federal prosecutor who is more than qualified to ...

Department Name Mobile Administration of Justice-Judiciary Gireesh ...
9495124374 Education General Prasoon C P 9847945201 Education General ... Secondary Aseef Reju M.I 9961499166 Education Technical Education ...

Keith & Jackie Lorman, Charles & Melissa ... - Vermont Judiciary
Stormwater Mgmt. Div., 676 N.E.2d 609,. 612-13 (Ohio Ct. App. 1996) (per curiam) (concluding that decision to make improvements to existing sewer involves ...

Letter to Goodlatte 3.10.17 - Committee on the Judiciary - Democrats
Mar 10, 2017 - The Nadler resolution of inquiry was designed to obtain information ... Your new letter to Director Comey requests a briefing on a broader list of subject ... Deputy Attorney General Dana Boente, a career federal prosecutor.

Judiciary and micro and small enterprises: Impact ...
administration and developing transactions in the micro and small business sector ...... merge with other firms, engage with joint purchase or sale agreements or ...

RPC Report and Recommendation MRPC 1.6 Final for Judiciary and ...
Page 1 of 11. 1. No resolution presented herein reflects the policy of the Minnesota State Bar Association. until approved by the Assembly. Informational reports, comments, and supporting data. are not approved by their acceptance for filing and do n

kamrup-judiciary-night-chowkidar-post-www.govidin.in-advt-details ...
r e Indian itizens as defined under Article 5 & 6 of the Constitution of India for filling up ... kamrup-judiciary-night-chowkidar-post-www.govidin.in-advt-details.pdf.

Judiciary and micro and small enterprises: Impact and ...
that will make possible a good economic performance. Several .... During the past decade, municipal and rural savings and loans were .... The 25 - 45 year-old age bracket stands out, as it accounts for over 40% of the micro and small ... Gradually, t

FINAL APPROVED BENCH BOOK GUIDE FOR DISTRICT JUDICIARY ...
FINAL APPROVED BENCH BOOK GUIDE FOR DISTRICT JUDICIARY.pdf. FINAL APPROVED BENCH BOOK GUIDE FOR DISTRICT JUDICIARY.pdf. Open.

Committee on Judiciary I – Civil Law.pdf
Page 1 of 7. March 15, 2011. Committee on Judiciary I – Civil Law. Stratton Building. Springfield, Illinois 62701. Re: House Bill 3280: Internet Service Provider ...

Judiciary Letter with Cover for Circulation.pdf
Retrying... Download. Connect more apps... Try one of the apps below to open or edit this item. Judiciary Letter with Cover for Circulation.pdf. Judiciary Letter with Cover for Circulation.pdf. Open. Extract. Open with. Sign In. Main menu. Whoops! Th

Eric Schmidt Senate Judiciary Committee Responses.pdf
There was a problem previewing this document. Retrying... Download. Connect more apps... Try one of the apps below to open or edit this item. Eric Schmidt ...

House Committee on the Judiciary HJC In Plane Sight FAMS 2006 ...
History of the Federal Air Marshal Service 2. Conunittee Investigation . 5. May 13,2004 FAMS Briefing to Committee Staff 5. Committee Staff mterviews of ...

House Committee on the Judiciary HJC In Plane Sight FAMS 2006 ...
Page 1 of 147. IN PLANE SIGHT: LACK OF ANONYI\1JTY AT THE FEDERAL Am MARSHAL SERVICE. COMPROMlSES AVIATION A]Ir,'D NATIONAL SECURITY. INVESTIGATIVE REI'ORT. BY THE. COMl\UTTEE ON TBE JUDICIARY. together with. ----ANU ----vn:ws. May -' 2006.- - Commit

Minutes of the 135th Meeting of the
173.9 Three Year Strategic Plan and One Year Action. Plans were endorsed ... Year 1 Central application summary was tabled. Total .... Other Business. 174.22.