SHERIA YA KUZUIA USAFIRISHAJI HARAMU WA BINADAMU (SHERIA KUU) MPANGILIO WA VIFUNGU Kifungu

Jina SEHEMU YA I MASHARTI YA AWALI

1. Jina kifupi na Uanzaji. 2. Matumizi. 3. Tafsiri. SEHEMU YA II ZUIO LA USAFIRISHAJI HARAMU WA BINADAMU 4. 5. 6. 7. 8.

Vitendo vya usafirishaji haramu wa binadamu. Vitendo vinavyoongeza au kufanikisha usafirishaji haramu wa binadamu. Usafirishaji haramu wa binadamu wa hali ya juu. Usafirishaji haramu wa binadamu kwa kutumia watu wa kati (Madalali). Kuwatumia watu waliosafirishwa kiharamu. SEHEMU YA III UPELELEZI NA MWENENDO WA KIMAHAKAMA

9. Usiri. 10. Kutoa taarifa ya makosa. 11. Kuhojiwa na afisa polisi. 12. Kukamatwa na afisa wa polisi. 13. Kutenda kosa la pili na kuendelea. 14. Kutwaa na kutaifishwa kwa matunda na vifaa vilivyotokana na usafirishaji haramu wa binadamu 15. Fidia. 16. Utambuzi wa wahanga.

SEHEMU YA IV UOKOAJI, MAREKEBISHO NA MSAADA KWA WAHANGA 17. Kuwaokoa, kuwajali, kuwawezesha kuishi maisha ya kawaida na kuwashauri watu waliosafirishwa kiharamu. 18. Ulinzi na msaada kwa wahanga. 19. Msaada na ulinzi kwa watoto wahanga. 20. Vituo kwa ajili ya ulinzi wa wahanga. 1

21. Kuwarudisha makwao wahanga. 22. Kuwarudisha makwao wahanga watoto au watu wenye ulemavu. 23. Kuwarudisha makwao raia wa nje, nk. 24. Programu zinazohusu usafirishaji haramu wa binadamu. SEHEMU YA V MFUKO WA KUKOMESHA USAFIRISHAJI HARAMU WA BINADAMU 25. Uanzishwaji wa mfuko wa kuzuia usafirishaji binadamu. 26. Vyanzo vya mfuko. 27. Matumizi wa mfuko. 28. Usimamizi wa mfuko. 29. Fedha, akaunti na makisio ya mwaka ya sekretariati.

haramu

wa

SEHEMU YA VI KAMATI YA KUZUIA USAFIRISHAJI HARAMU WA BINADAMU 30. Uanzishwaji wa Kamati ya Kuzuia Usafirishaji Haramu wa Binadamu. 31. Muundo wa Kamati ya Kuzuia Usafirishaji Haramu wa Binadamu. 32. Kazi ya Kamati ya Kuzuia Usafirishaji haramu wa Binadamu. 33. Vikao v ya kamati ya Kuzuia usafirishaji haramu wa Binadamu.

SEHEMU YA VII MASHARTI MADOGO MADOGO 34. Ulinzi wa kisheria kwa watu waliosafirishwa kiharamu. 35. Fidia kwa wajumbe. 36. Matumizi ya sheria nyingine. 37. Kanuni. SEHEMU YA VIII MAREKEBISHO YATOKANAYO 38. Kufutwa kwa kifungu cha 39. Kurekebishwa kwa kifungu 40. Kurekebishwa kwa kifungu 41. Kurekebishwa kwa kifungu

2

139A. cha 148. cha 10. cha 3.

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA SHERIA YA KUZUIA USAFIRISHAJI HARAMU WA BINADAMU

UTANGULIZI KWAMBA Jamhuri ya Muungano inathamini utu wa kila binadamu na inahakikisha heshima kwa kila haki ya mtu;

NA KWAMBA Jamhuri ya Muungano inatambua haki sawa na utu wa asili wa watu kama ulivyowekwa kwa Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya mwaka 1977 na kwenye Mkataba wa Kimataifa wa Kupambana na Uhalifu wa Kimataifa na Itifaki ya Kuzuia, Kuangamiza na Kuadhibu usafirishaji haramu wa binadamu na watoto na mikataba mingine ya haki za binadamu iliyokubaliwa, na mikataba ya kimataifa ambayo Tanzania ni mwanachama. NA KWAMBA Jamhuri ya Muungano inatoa kipaumbele cha hali ya juu katika kuandaa mikakati na miradi ambayo inachochoea utu wa binadamu, inalinda watu kutokana na hatari ya ukatili na unyonyaji, inaondoa usafirishaji haramu wa binadamu na inapunguza vyanzo vya uhamiaji na kazi za kulazimishwa ka lengo la kuhakikisha wanaokolewa, Wanatibiwa na wanarudishwa kwenye mfumo wa jamii NA KWAMBA Jamhuri ya Muungano inaamini kuwa licha ya kuwepo kwa mikataba mbalimbali ya kimataifa yenye kanuni na hatua za kupambana na usafirishaji haramu wa binadamu, kuna umuhimu kuwa na sheria mahususi ili kutatua mambo yote yanayohusiana na usafirishaji haramu wa binadamu; KWA HIYO INATUNGWA na Bunge la Jamhuri ya Muungano kama ifuatavyo:

3

SEHEMU YA I MASHARTI YA AWALI Jina kwa kifupi na 1.- (1) S h e r i a h i i i n a w e z a k u i t w a S h e r i a y a Uanzaji Kuzuia Usafirishaji Haramu wa Binadamu, 2008. (2) Sheria hii itaanza kutumika katika tarehe ambayo Waziri anaweza kupanga, kwa taarifa itakayochapishwa kwenye Gazeti. Matumizi Tafsiri

Sura ya 16

2.-(1) Sheria hii itatumika kwa Tanzania Bara na Tanzania Zanzibar. 3. Katika hii Sheria isipokuwa kama maana itahitaji vinginevyo – ”utekaji” kuhusiana na makosa yanayohusiana na usafirishaji haramu wa binadamu maana yake ni kumlazimisha au kumshawishi mtu kutoka sehemu moja kwenda sehemu nyingine; "afisa aliyeruhusiwa" maana yake ni afisa wa uhamiaji, afisa wa polisi au afisa mwingine wa umma anayetekeleza mamlaka ya sheria za mamlaka za utekelezaji; "msaada wa mambo ya msingi" inajumuisha elimu, afya, mavazi, malazi, ushauri na mahitaji wa mlo kamili; kulipwa na mtumiaji wa watu waliosafirishwa; "kuwekwa kwa dhamana" maana yake ni kuwekwa na msafirishaji kwa watu kwa nia ya kuwanyonya kwa ahadi ya msafirishaji "utunzaji na ulinzi" itakuwa na maana sawa na msaada ya mambo ya msingi; "mtoto" maana yake ni mtu aliye chini ya umri wa miaka kumi na nane; “deni" m a a n a y a k e n i m d e n i k u t o a h u d u m a yake mwenyewe au kazi au watu walio chini yake kama dhamana ay malipo ya deni, kama urefu wa kipindi na asili ya huduma hiyo havijawekwa bayana au 4

thamani ya huduma kama ambavyo inatathiminiwa hailengi kumaliza deni husika; "mtu mwenye ulemavu" m a a n a y a k e n i m t u ambaye hawezi kujihudumia, au kujilinda yeye mwenyewe dhidi ya dhuluma, utelekezwaji, ukatili, unyonyaji au ubaguzi kutokana na ulemavu wa viungo au akili; "unyonyaji" kuhusiana na usafirishaji haramu wa binadamu maana yake ni watu magendo ya watu, ukahaba na aina nyingine za unyonyaji wa kingono, kazi za kulazimishwa au huduma, utumwa au vitendo vinavyofanana na utumwa a u kuondoa viungo vya mwili; "ajira ya kulazimishwa na utumwa” maana yake ni kufanyishwa kazi au kulazimishwa kutoa huduma kwa njia ya kushawishiwa, kupigwa, kutishwa, kutumia nguvu au lazima, ikijumuisha kumuondolea mtu uhuru, kumuondolea utu, dhamana ya deni au kudanganywa au kulaghaiwa; "mamlaka ya nje” maana yake ni mtu aliyekwa na serikali ya nje kama chombo chenye mamlaka ya kutenda kwa niaba ya serikali ya nje kwa madhumuni ya sheria hii; "Serikali" m a a n a utawala wa unatekelezwa;

yake ni Jamhuri

mamlaka ambayo ya Muungano

"majeraha" inajumuisha ya maumivu kimwili, kiakili na kisaikolojia; "Waziri" maana yake Waziri anayehusika na mambo ya ndani; "NGO" itakuwa na maana kama ilivyopewa chini ya Sheria ya Taasisi Zisizo za Kiserikali; "viungo” inajumuisha sehemu yoyote ya mwili wa binadamu ambayo inaweza kuondolewa ili kuendeleza maisha ya binadamu au kwa lengo linguine; “sehemu ya usalama" m a a n a 5

yake

ni

mahali

ambapo usalama wa usafirishwaji unapatikana; "kuwekwa kuwekwa lengo la mtu huyo

mhanga

wa

kama huduma" m a a n a yake ni kwa mtu na msafirishaji kwa kunyonywa ambapo huduma ya hailipwi;

"afisa wa polisi" inajumuisha afisa kutoka jeshi lolote lingine; "picha za ngono" inajumuisha mawasilisho yoyote, kupitia machapisho, maonyesho ya wazi, sinema, maonyesho ya utupu, teknohama au kwa njia yoyote nyingine, ya mtu anayehusika moja kwa moja au kwa kuwezeshwa katika shughuli za ngono au maonyesho ya aina yoyote ya viungo vya ngono kwa nia ya msingi ya kingono. "ukahaba" maana yake ni kitendo, mradi au mpango unaohusisha inayohusisha matumizi ya mtu na mtu mwingine kwa tendo la ngono au kitendo cha uasherati kwa kubadilishana na fedha, faida au kitu chochote cha thamani; "vyombo vya usalama" inajumuisha, Polisi, Mamlaka ya Mapato ya Tanzania, Uhamiaji na Idara ya Usalama wa Taifa; "afisa ustawi wa jamii" inajumuisha afisa ambaye hajathibitishwa kazini; "makazi ya muda" maana yake ni usafirishaji wa watu waliosafirishwa kiharamu kwa muda mfupi kwa ajili ya malengo ya kinyonyaji; "utalii wa ngono" maana yake(a) programu iliyoandaliwa na kampuni au mtu anayehusika na usafiri au utalii, ambayo katika shughuli zake za kitalii, inatumia shughuli za ngono kama kivutio cha utalii; (b) huduma ya ngono au vitendo vinavyotolewa wakati wa kupumuzika au wakati wa mapumziko au burudani kwa wanajeshi; "unyonyaji wa kingono" m a a n a y a k e u h u s i k a j i w a mtu kwen ye ukahaba au utengenezaji wa picha za ngono baada ya kutishiwa, 6

kudangan ywa, kulazimishwa, kutekwa, kutumia nguvu, matumizi mabaya ya madarak, dhamana ya madaraka, uongo au kwa kutumia udhaifu wa wahanga.

SEHEMU YA II KUZUIA USAFIRISHAJI HARAMU WA BINADAMU Vitendo vya 4.-(1) Mtu anafanya kosa la usafirishaji usafirishaji haramu haramu wa binadamu kama mtu huyowa binadamu (a) anaajiri, anasafirisha, anahamisha, anatunza, anatoa au kupokea mtu kwa njia yoyote, ikijumisha zile zinazofanyika kwa mgongo wa ajira za majumbani za nje ya nchi, mafunzo, ukahaba, picha za ngono, unyonyaji wa kingono, kazi za kulazimishwa, utumwa au dhamana ya deni; (b) anamtambulisha au anamuunganisha mtu na raia wa nje kwa njia ya ndoa kwa nia ya kumpata, kumnunua, kumtoa, kumuuza au kumfanya biashara mtu huyo ili mtu huyo aingizwe kwenye ukahaba, picha za ngono, unyonyaji wa kingono, kazi za kulazimishwa, utumwa au dhamana ya deni; anaonyesha nia au anafunga (c) ndoa, ya kweli au bandia, kwa nia ya kumpata, kummnunua, k u m t o a , kumuuza au kumfanya biashara mtu huyo ili mtu huyo ahusishwe kwenye ukahaba, picha za ngono, unyonyaji wa kingono, kazi za kulazimishwa, utumwa, au dhamana ya deni; (d) kufanya au kuandaa utalii wa ngono au unyanyasaji wa kingono; (e) kumiliki au kukodi mtu kujihusisha na ukahaba au picha za ngono; (f) kuasili au kufanikisha kuasili mtu kwa nia ya ukahaba, picha za ngono, unyon yaji wa kingono, ajira ya kulazimishwa na utumwa na ya deni; (g) k u a j i r i , k u k o d i , k u a s i l i , k u s a f i r i s h a au kuteka(i) mtu, kwa njia ya kutishia, au kwa kutumia nguvu, uongo, ulaghai, 7

(ii)

fujo, kulazimisha au kutishia kuondoa au kuuza kiungo cha mtu; au mtoto au mtu mlemavu kwa lengo la kumuingiza mtoto au mtu mlemavu kwenye shughuli za kijeshi.

(2) U s a f i r i s h a j i haramu wa binadamu utakuwa pia umetendeka kwa kuwekwa kwenye makazi ya muda au kazi kama nia yake ni kunyonywa na mtu mwingine. (3) Kama mhanga wa usafirishaji haramu wa binadamu ni mtoto, ridhaa ya mtoto, mzazi au mlezi haitakuwa kinga katika uendeshaji mashataka chini ya Sheria hii hata kama kuna ushahidi wa matumizi mabaya ya madaraka vibaya, ulaghai, uongo, kugandanya au udhaifu wa mtoto ulitumika kama sababu. (4) Ridhaa ya mhanga wa usafirishaji haramu wa binadamu haitakuwa kuwa na maana ikiwa kama njia zilizotajwa kwenye kifungu kidogo cha (1) zilitumika dhidi ya mhanga. (5) M t u a n a y e f a n y a k o s a a u k i t e n d o kilichotajwa chini ya kifungu hiki atawajibika, kama akitiwa hatiani, kulipa faini isiyopungua shilingi milioni tano na isiyozidi shilingi milioni mia tano au kufungwa kifungo kisichopungua miaka miwili lakini kisichozidi miaka kumi au vyote.

Vitendo 5.-(1) Mtu anayechochea au anayefanya au vinavyoongeza au anayefanikisha utendekaji wa usafirishaji haramu wa kufanikisha binadamu anafanya kosa. usafirishaji haramu (2) M t u a n a c h o c h e a , a n a f a n y a a u wa binadamu. anafanikisha utendekaji wa usafirishaji haramu wa binadamu kama mtu huyoa) k w a k u j u a a n a k o d i s h a , a n a t u m i a a u anaruhusu kutumika nyumba yoyote, jengo au makazi yoyote kwa lengo la usafirishaji haramu wa binadamu; b) anatengeneza, anachapa, anatoa au anagawa vyeti, 8

usajili au kibandiko ambazo hazijatolewa, zimeghushiwa au ni za bandia za wakala yoyote wa serikali anayetoa vyeti, usajili au kibandiko kama uthibitisho kwa kuendana na matakwa ya serikali katika kuchocheausafirishaji wa binadamu ; c) a n a t a n g a z a , a n a c h a p a a u a n a g a w a , au anafanikisha kutangazwa, kuchapwa au kugawiwa kwa njia yoyote, ikiwa ni pamoja na matumizi ya teknohama au kipeperushi, majarida au vyombo vingine ambavyo vinachochea usafirishaji haramu wa binadamu; d) anasaidia katika vitendo vya udanganyifu au ulaghai kwa nia ya kufanya au kufanikisha upatikanaji wa vibali na nyaraka nyingine muhimu kwaajili ya kwenda za kutoka nje ya nchi kutoka kwa wakala wa serikali kwa lengo la usafirishaji haramu wa binadamu; e) a n a f a n i k i s h a a u a n a s a i d i a k a t i k a kutoka au kuingia katika Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa mtu ambaye anamiliki nyaraka za kusafiria ambazo hazijatolewa, zimeghushiwa au ni za uongo kwa lengo la usafirishaji haramu wa binadamu; f) atataifisha, ataficha au ataharibu hati ya kusafiria au nyaraka za kusafiria za mtu anayesafirishwa kiharamu kwa lengo la kufanikisha usafirishaji haramu wa mtu huyo; g) a n a m z u i a mtu anayesafirishwa kiharamu katika kupata msaada kutoka Jamhuri ya Muungano au kutafuta msaada kutoka serikali au mamlaka i n a y o h u s i k a ; au h) kwa kuj u a anafai di k a, ki fed ha au vi ngi n ev yo, au an atumi a, ng uvu au hu du m a ya m t u an a yes h i kil iwa chi ni ya m as hart i ya utumwa, ajira ya kulazimishwa au utumwa. (3) Mtu atakayefanya kosa chini ya kifungu hiki atawajibika, ikiwa akitiwa hatiani, kulipa faini isiyopungua shilingi milioni mbili na isiyozidi milioni hamsini au kufungwa kwa kipindi kisichopungua mwaka mmoja na kisichozidi miaka saba. Usafirishaji haramu 6.-(1) Kwa kuzingatia masharti ya Sheria hii, baadhi ya wa binadamu wa hali vitendo au mazingira yataonekana kuwa ni usafirishaji 9

ya juu

haramu wa hali ya juu. (2) Usafirishaji haramu wa binadamu ulio juu utaoenekana ikiwa a) mtu aliyesafirishwa ni mtoto au mtu mlemavu; b) kuasili kumefanyika kwa lengo la ukahaba, picha za ngono, unyonyaji wa kijinsia, ajira ya kulazimishwa na utumwa au dhamana ya deni; c) k o s a l i m e t e n d w a n a m t a n d a o w a w a t u au kwa kiasi kikubwa; d) m k o s a j i n i n d u g u , m z a z i , m t o t o , m l e z i a u m t u m w e n y e m a m l a k a j u u ya m t u ana yes afi ri shwa kiharam u; e) k o s a l i m e f a n y i k a n a a f i s a w a u m m a , mfanyakazi au kiongozi wa dini; f) mtu aliyesafirishwa kiharamu anatumikishwa kwenye ukahaba na mjumbe yeyote wa jeshi au mamlaka ya utekelezaji wa sheria; g) m t e n d a j i w a k o s a n i m j u m b e w a j e s h i a u m a m l a k a ya u t e k e l e z a j i w a s h e r i a ; na h) k w a s a b a b u au kwa kitendo cha usafirishaji haramu wa binadamu, mtu anayesafirishwa amekufa, amepata ugonjwa wa akili, ameathirika na Upungufu wa Kinga Mwilini (UKIMWI au AIDS), amepoteza kiungo chake, amepata magonjwa ya zinaa, magonjwa ya kuambukizwa au magonjwa mengine. (3) K w a a j i l i l a k i f u n g u k i d o g o ( 2 ) ( c ) usafirishaji haramu wa binadamu unaonekana kutendwa na mtandao wa watu kamala watu a) u t a f a n y i k a na kundi wawili au zaidi; au b) u t a f a n y i k a d h i d i y a w a t u w a t u w a w i l i au zaidi, kwa peke yake au kama kundi. (4) Mtu atakayetenda kosa chini ya kifungu hiki atawajibika, kama akitiwa hatiani, kulipa faini isiyopungua shilingi milioni tano na isiyozidi shilingi milioni mia moja na hamisini au kufungwa kwa kipindi kisichopungua miaka kumi lakini kisichozidi miaka ishirini au vyote.

Usafirishaji haramu 7.-(1) Mtu anayefanya kama mtu wa kati kwa lengo wa binadamu kwa la usafirishaji haramu wa binadamu anafanya kosa. kutumia watu wa 10

kati.

(2) Kwa lengo la kifungu hiki a) "mtu wa kati" maana yake ni mtu ambaye kwa kujua anashiriki au anahusika na kitendo chochote kile cha usafirishaji haramu wa b i n a d a m u c h i n i y a S h e r i a h i i ; na b) " kuhusika " maana yake nii. kumpeleka au kumchukua mtu kwenye kitendo cha usafirishaji haramu wa binadamu; ii. kutoa ridhaa ili mtu asafirishwe kiharamu; iii. kumpokea mahali popote mtu kwa lengo la kumfanya mtu huyo asafirishwe kiharamu; au iv. k u i n g i a m a k u b a l i a n o ya m d o m o au maandishi kwa lengo la kumsafirisha mtu kiharamu au kusababisha mtu kuingia k w e n ye u s a f i r i s h a j i h a r a m u w a binadamu. (3) M t u a t a k a y e f a n y a k o s a c h i n i ya kifungu hiki atawajibika, akitiwa hatiani, kulipa faini isiyopungua shilingi milioni nne lakini isiyozidi shilingi milioni mia moja na hamsini au kufungwa kwa kipindi kisichopungua miaka saba lakini kisichozidi miaka kumi na tano au vyote

Kuwatumia watu 8. Mtu anayenunua au anayetumia huduma ya watu waliosafirishwa waliosafirishwa kiharamu kwa ukahaba anatenda kosa na kiharamu atawajibika, kama akitiwa hatiani, kulipa faini isiyopungua shilingi milioni moja lakini isiyozidi milioni thelathini au kufungwa kwa kipindi kisichopungua miezi kumi na mbili lakini kisichozidi miaka saba au vyote. SEHEMU YA III UPELELEZI NA MWENENDO WA KIMAHAKAMA Usiri

9.-(1) M ai s h a bi n afs i n a ut am b uli sho wa m hang a wa u s afi ri shaji haramu wa b in ad am u ut at aki wa kuh i fad hiwa n a k uli n dwa. (2) Mamlaka za utekelezaji, majaji, watumishi wa 11

mahakama na madaktari, pamoja na wahusika wakwenye kesi watawajibika, katika hatua yoyote ya uchunguzi au usikilizaji wa kesi chini ya Sheria hii, kutambua haki ya usiri ya mtu aliyesafirishwa kimakosa na mtuhumiwa. (3) Mahakama ambayo malalamiko yamepelekwa inaweza baada ya kuzingatia mazingira yote kwa maslahi ya pande zote, kuamuru mwenendo wa kesi kufanyika kwa siri. (4) Jina na taarifa binafsi za mtu aliyesafirishwa kiharamu au taarifa nyingine zinazohusiana na mtu aliyesafirishwa kiharamu hazitatakiwa kutolewa kwa umma. (5) Ikiwa uendeshaji wa mashitaka utafanyika kwa siri, itakuwa ni kinyume na sheria kwaa. m h a r i r i , m c h a p a j i , m t a n g a z a j i a u mwandishi; b. mtoa taarifa au mtayarishaji; c. m t a y a r i s h a j i a u m k u r u g e n z i w a filamu, au d. mtu ye yote anayet umia v yombo v ya habari au teknolojia ya mawasiliano, kusababisha kutangazwa kwa mwenendo huo wa mashitaka. ya 10. Mhanga wa usafirishaji haramu wa binadamu ambaye ana taarifa kuhusiana na mtu yeyote anayefanya vitendo vya usafirishaji haramu wa binadamu mahali pengine atatakiwa, kutoa taarifa ya kosa hilo kwa afisa wa polisi mara moja. Kuhojiwa na afisa 11.-(1) Kama afisa wa polisi akipokea taarifa kwa polisi mujibu wa kifungu cha 10, afisa huyo atatakiwaa) kumuhoji mtu anayetuhumiwa kutenda kosa la usafirishaji haramu wa binadamu; na b) k u w e k a k u m b u k u m b u y a t a a r i f a k w a undani. (2) Afisa wa polisi ambaye atakutana na mhanga wa usafirishaji haramu wa binadamu moja kwa moja atakuwa na wajibu wa jumla w a a) k u m s a i d i a m h a n g a k u p a t a m a t i b a b u ya kitabibu na kisaikolojia, kama ni muhimu; b) k u m s a i d i a mhanga kwa kumpeleka sehemu ya usalama kama mhanga ana m a s h a k a n a u s a l a m a ; na c) k u m w a m b i a m h a n g a h a k i z a k e n a msaada wa muhimu ambao utakuwepo ili kumsaidia mhanga. Kutoa taarifa makosa.

12

Kukamatwa na afisa 12.-(1) Afisa polisi haruhusiwi kumkamata mtu wa polisi yeyote chini ya Sheria hii bila kibali cha kukamata

(2) Bila kujali kifungu kidogo cha (1), afisa wa polisi anaweza kumkamata mtu kwa usafirishaji haramu wa binadamu bila kibali ikiwaa) k i t e n d o c h a u s a f i r i s h a j i h a r a m u w a binadamu kinafanyika wakati afisa huyo akiwepo; b) afisa wa polisi amezuiwa na mtuhumiwa kufanya upelelezi; c) m t u a n a t a k a k u t e n d a k o s a l a u s a f i r i s h a j i haramu wa binadamu na hakuna njia ya kuzuia kutendeka kwa kosa hilo. Kutenda kosa la pili 13. Mahakama inaweza kuongeza adhabu ambazo na kuendelea zimetajwa kwenye vifungu mbalimbali vya Sheria hii, kwa kutoa adhabu kali zaidi kwa mtu ambaye ametiwa hatiani kwa kosa la pili au zaidi kwenye Sheria hii. Kutaifishwa kwa 14.-(1) Kwa kuongezea kwenye adhabu inayotolewa matunda na vifaa kwa kutenda kosa chini ya Sheria hii, mahakama inaweza vilivyotokana na kuamuru kutaifishwa mapato yote na mali zilizotokana na usafirishaji haramu kosa la usafirishaji haramu wa binadamu. wa binadamu (2) Fidia yoyote itakayotolewa itatakiwa kutoka kwenye mali binafsi na tofauti za mtuhumiwa isipokuwa kama mali hizo hazitatosha, ambapo salio litatakiwa kutoka kwenye mapato ya mali zilizotaifishwa. (3) Kama mapato, mali na vifaa vinav yohusiana na kosa la usafirishaji haramu wa binadamu vimeharibiwa, vimepoteza thamani au vinginev yo havifai kutoka na k utendo au kushindwa kutenda, moja kwa moja au si moja kwa moja, kwa mkosaji, au kimefichwa, kimeondolewa, kimebadilishwa au kimesafirishwa ili kuzuia kitu hicho kisipatikane au kuzuia kisitaifishwe, mtuhumiwa ataamuriwa kulipa kiasi sawasawa na thamani ya matunda, mali au kifaa kinachohusiana na kosa. Fidia 15.-(1) Mtu atakayetiwa hatiani kwa kosa la usafirishaji haramu wa binadamu chini ya Sheria hii ataamuriwa na mahakama kulipa fidia kwa mhanga wa usafirishaji haramu wa binadamu. (2) Mtu atakayesababisha madhara kwa mtu yeyote katika usafirishaji haramu wa binadamu 13

Utambuzi wahanga

chini ya Sheria hii ataamuriwa kulipa fidia kwa mtu ali yedhurika. (3) M a l i p o y a f i d i a y a t a k u w a n i nyongeza ya adhabu yoyote iliyotolewa chini ya Sheria hii wa 16. Utambuzi wa wahanga wa usafirishaji haramu wa binadamu utatakiwa kufanywa na afisa aliyeruhusiwa au mtu yoyote mwingine ambaye ana sababu za msingi za kuamini kuwa mtu ni mhanga wa usafirishaji haramu wa binadamu. SEHEMU YA IV

UOKOAJI, UBORESHAJI, ULINZI NA MSAADA KWA WAHANGA Kuwaokoa, 17.-(1) Afis a wa u mm a a liy e k wen ye ulin z i kuwajali, a ta wa jib ik a k u wao ko a wa tu wa na o sa firish wa k iha ra mu kuwarejesha n a k u wap a m a h ita ji ya m s ing i k wa a jili y a u s a la m a n a kwenye maisha ya u lin z i, wa ha n ga wa us a firis ha ji ha ra m u wa b in ad a m u kawaida na wa lio ok o le wa . kuwashauri watu (2) Matibabu ya kijamii ya mhanga aliyeokolewa waliosafirishwa yatatakiwa kufanywa na maafisa wa ustawi wa jamii kwa kiharamu lengo la kumrudisha mhanga kwenye hali yake ya kawaida na inaweza kujumuisha kumpatia msaada wakisheria na vifaa, kisaikolojia, kitabibu na kitaaluma, ajira na mahali pa kuishi. (3) Kam i shn a wa us t awi wa j amii at at ak iwa ku to a u shau ri n as ah a kwa wahang a wa us afi ris haji h aram u wa binadam u kwa l eng o l a kuwas aid i a i li waru di k wen ye h al i yao n a il i waweze kujumu ik a na watu wengi n e. (4) B i l a k u j a l i m a s h a r t i y a l i y o t a j w a chini ya kifungu hiki, maslahi bora ya mtoto au mtu mlemavu yatatakiwa kutiliwa mkazo katika msaada wowote utakaotolewa wakati wa uokoaji, matibabu, ushauri nasaha na kumunganisha mtoto ambaye ni mhanga wa usafirishaji haramu wa binadamu. Ulinzi na msaada kwa l8.-(1) Waziri kwa kushirikiana na Waziri wahanga anayehusika na ustawi wa jamii, atatakiwa kuchukua hatua stahili kwaajili ya ulinzi, matibabu na msaada kwa mhanga aliyeokolewa. (2) Ulinzi na msaada utakaotolewa chini ya kifungu kidogo cha (1) hautakuwa na sharti kuwa mhanga aliyeokolewa awe tayari kutoa maelezo na kushiriki kwenye uendeshaji wa mashitaka dhidi ya mtenda kosa la usafirishaji haramu wa binadamu. 14

(3) Ulinzi, matibabu, msaada na huduma nyingine kwa mhanga aliyeokolewa utatolewa kulingana na uwepo wa rasilimali na unaweza kujumuisha a) h u d u m a y a b u r e y a k u t a f s i r i k w a l u g h a watakayoichagua wenyewe; b) huduma ya bure ya mwanasheria kuhusiana na suala la usafirishaji haramu wa binadamu; c) h ud um a s a l a m a ya m al az i ya m u d a , h u d u m a ya k i s ai k ol oj i a, ki t ab i b u n a k i j am i i k am a i t a ka v yo o ne k an a m u hi m u ku l i n g an a n a m ah i t aj i ; n a d) huduma nyinginezo kama zitavyotolewa kwen ye kwenye mwongozo wa kiutawala. Msaada na Ulinzi 19.-(1) Serikali itawajibika kutoa ulinzi, matibabu na kwa watoto msaada kwa mhanga wa usafirishaji haramu wa binadamu wahanga. ambaye ni mtoto au mtu mwenye ulemavu huyo kuanzia pale itakapoaminika kuwa mtoto huyo au mtu mlemavu ni mhanga hadi pale ambapo uunganishwaji na jamii na atakapona kabisa. (2) K a m a u m r i w a m h a n g a h a u j u l i k a n i lakini kuna sababu za kuamini kuwa mhanga hajatimiza umri wa miaka kumi na nane, itaaminika kuwa mhanga ni mtoto mpaka pale umri halisi utakapothibitishwa. Vituo kwa ajili ya 20.–(1) S e r i k a l i i n a w e z a k w a u s h a u r i ulinzi wa wahanga wa Kikundi Kazi,kuanzisha au kutenga vituo k w a a j i l i ya u l i n z i n a m s a a d a kwa wahanga wa usafirishaji haramu wa binadamu (2) Vituo vitakavyoanzishwa au kutengwa kwa kuzingatia kifungu kidogo cha (1) kitatakiwa kutoa malazi, chakula, msaada wa kisheria, huduma ya kisaikolojia na matibabu, usalama na ulinzi kwa wahanga wa usafirishaji haramu wa binadamu na pia kuwasaidia kuwatafuta ndugu zao. Kuwarudisha makwao wahanga.

21.-(1) Serikali itahakikisha kuwa usafirishaji na upokeaji wa mhanga wa usafirishaji haramu wa binadamu ambao ni watanzania au wasiokuwa na taifa ambao wanastahili kupewa makao ndani ya Jamhuri ya Muungano baada ya kuingia kwenye eneo la nchi nyingine. (2) Serikali inaweza kuwezesha usafirishaji wa mhanga wa usafirishaji haramu wa binadamu ambaye hana nyaraka muhimu kwa kumpatia nyaraka za usafiri au kitambulisho chochote kitachotakiwa kwa ajili ya 15

kumsafirisha Kuwarudisha 22. M t ot o au mtu ml em avu am b aye n i makwao wahanga m hanga wa us afi ri sh aji h aramu wa bin ad am u watoto au watu at at ak iwa kurud is hwa n chi ni k wake iki wa k abl a wenye ulemavu ya ku ru di kwake a) m z a z i , n d u g u a u m l e z i w a k i s h e r i a ametoa ridhaa ya kumpokea mtoto au mtu mwenyeulemavu kuwa chini ya u a n g a l i z i w a k e ; na b) w a k a l a w a s e r i k a l i a u w a k a l a w a u l i n z i wa watoto kutoka nchi yake ameto a ridhaa na anaweza kuchukua wajibu wa kutoa msaada na ulinzi wa kutosha kwa mtoto. Kuwarudisha 23.-(1) Serikali itawajibikamakwao raia wa nje, a) kutoa msaada kwa raia wa nchi za nje na watu wasio nk.. na taifa ambao ni wahanga wa usafirishaji haramu wa binadamu mpaka watakaporudishwa kwenye nchi zao kwa ridhaa yao; na b) k u h a k i k i s h a u s a f i r i s h a j i w a w a h a n g a w a usafirishaji haramu wa binadamu katika hali salama hadi kwen ye mpaka wa Jamhuri ya Muungano (2) Bila kujali kifungu kidogo cha (1), mhanga wa usafirishaji haramu wa binadamu anaweza asirudishwe au asifukuzwe kwenda kwenye nchi yake ya asili au nchi ya tatu kama kuna sababu za msingi kuamini kuwa urudishwaji au ufukuzaji unaweza kumuweka mhanga kwenye hatari ya kupoteza uhai wake au kuhatarisha usalama wake au usalama wa familia yake. (3) K a m a m h a n g a w a u s a f i r i s h a j i haramu wa binadamu hana nyaraka za kusafiria kutokana na kupotea, kuibiwa au kuharibiwa, Serikali itatakiwa, baada ya kuombwa na nchi ya nje, kusaidia katika upatikanaji wa nyaraka hizo kama itakavyokuwa muhimu ili kumwezesha mhanga kurudi kwenye nchi yake anakokaa Programu 24. Litakuwa ni jukumu la Serikali zonazolenga kuanzisha, kutekeleza na kuratibu program za usafirishaji haramu k u z u i a , k u l i n d a n a k u w a t i b u w a h a n g a w a wa binadamu usafirishaji haramu wa binadamu. (a) kupitia Wizara inayohusika na mambo ya nje16

i.

ii.

kuweka tayari rasilimali na nyezo zilizo nje ya nchi kwa ajili ya watu waliosafirishwa kiharamu bila kujali njia walioyotumia kuingia kwenye nchi husika, na kutafuta njia ya kuboresha msaada wake katika kuondoa usafirishaji haramu wa binadamu kupitia mawasiliano ya karibu na wakala za serikali nchini na nje ya nchi, katika kuunda sera na utekelezaji wa program husika; kuanzisha na kutekeleza program ya kabla ya ndoa, wakati wa ndoa na kabla ya kuondoka kwa ndoa zinazofungwa baina ya raia wanchi mbili;

(b) kupitia wizara ina yohusika na ustawi wa jamiii. kutekeleza program za matibabu na ulinzi kwa watu waliosafirishwa kiharamu; ii. k u t o a ushauri nasaha na makazi ya muda wa watu waliosafirishwa kiharamu na kuanzisha mfumo wa kutambua mashirika yasiyo ya kiserikali kwa lengo la kuanzisha vituo na programu za kukabiliana na usafirishaji haramu wa binadamu katika hatua mbali mbali kwenye jamii; (c) kupitia Wizara inayohusika na masuala ya kazi na ajira i. kuhakikisha utekelezaji mahususi na ufuatwaji wa kanuni na miongozo inayohusiana na ajira kwa watu ndani na nje ya nchi; ii. kufuatilia, kuweka kumbukumbu na kutoa taarifa ya matukio wa usafirishaji haramu wa binadamu yanayowahusisha waajiri na watu wanaowatafutia waajiri wafanyakazi; (d) k up i ti a Wiz ara i na yo hu si ka na m amb o ya s heri ai. kuhakikisha uendeshaji wa haraka wa mashtaka yanayohusiana na 17

ii.

iii.

utendekaji wa makosa ya usafirishaji haramu wa binadamu; kutenga na kuwafundisha waendesha mashtaka utaalamu maalumu katika kuendesha mashtaka ya makosa ya usafirishaji haramu wa b i n a d a m u ; na kuanzisha njia ya huduma za bure za kisheria kwa wahanga wa usafirishaji haramu wa binadamu.

SEHEMU YA V MFUKO WA KUZUIA USAFIRISHAJI HARAMU WA BINADAMU Uanzishwaji wa 25. Unaanzishwa Mfuko wa Kuzuia Usafirishaji Haramu mfuko wa kuzuia wa Binadamu ambao kwenye Sheria hii utajulikana kama usafirishaji “Mfuko”. haramu wa binadamu. Vyanzo mfuko

vya

26. Vyanzo vya fedha kwen ye mfuko vitajumuisha(a) kiasi cha fedha kama kitakavyotolewa na Bunge; (b) michango ya hiari kutoka kwa watu binafsi, mashirika yasi yo ya kiserikali na sekta binafsi zingine; (c) misaada na michango kutoka kwenye mashirika yenye mikataba; (d) kiasi chochote cha fedha au mali ambav yo mfuko unaweza kulipwa au kupewa; (e) kiasi chochote kingine cha fedha kinachoweza kuingizwa kwenye mfuko.

Matumizi ya mfuko

27. Mfuko utatumika kwa(a) k u s a i d i a m a h i t a j i y a m s i n g i y a wahanga wa usafirishaji haramu wa binadamu; (b) k u t o a m a f u n z o w a w a h a n g a w a 18

usafirishaji haramu wa binadamu; (c) k u t a f u t a f a m i l i a z a w a h a n g a w a usafirishaji haramu wa binadamu; na k w a j a m b o l o l o t e l i l e l i n a l o h u s i a n a na matibabu na kuwarudisha wahanga wa usafirishaji haramu wa binadamu kwenye nchi zao kwa maslahi yao.

Usimamizi wa mfuko

28.-(1) M fu ko ut as im ami wa n a S ek ret ari ati . (2) Fedha za Mfuko zitaingizwa kwen ye akaunti ya Mfuko itakayofunguliwa kwa lengo hilo. (3) Vitabu vya akaunti vitatakiwa kukaguliwa kwa mujibu wa masharti yaliyoko kwenye Sheria ya Fedha za Umma.

Fedha, akaunti na makisio ya mwaka ya sekretariati.

29.-(1) Fedha za sekretariati zinajumuisha: (a) kiasi chochote cha fedha kitakachotengwa na Bunge kwa ajili ya sekratariati; (b) k i a s i chochote kinachoweza kulipwa kwa sekretariati kwa njia y a m c h a n g o , z a w a d i a u k u p e w a ; na (c) kiasi chochote kinachoweza kudaiwa na Skretariati kwa njia ya ada ou malipo mengine kwa huduma iliyotolewa na Sekretariati. (2) Katibu atawajibika kutunza vitabu sahihi vya akaunti na kumbukumbu kuhusiana na mapato na matumizi ya mufuko kwa ajili ya Sekretariati. (3) V i t a b u n a a k a u n t i z a S e k r e t a r i a t i vitalazimika kukaguliwa kila mwaka na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali. (4) Sekretariati itawajibika, si zaidi ya miezi mitatu kabla ya kuisha kwa kila mwaka wa fedha, kutayarisha na kuwasilisha kwa Waziri makisio ya kina ya mapato na matumizi kwa mwaka ujao wa fadha.

SEHEMU YA VI KAMATI YA KUZUIA USAFIRISHAJI HARAMU WA BINADAMU Uanzishwaji wa Kamati ya Kuzuia Usafirishaji Haramu wa Binadamu.

30.-(1) Inaanzishwa Kamati ya Kuzuia Usafirishaji Haramu wa Binadamu ambayo, kwa kuzingatia masharti ya kifungu cha 33 itawajibika kuainisha, kuchochea na kuratibu sera ya Serikali kuhusiana na kuzuia na kupambana na usafirishaji haramu wa binadamu. 19

(2) Kamati ya Kuzuia Usafirishaji haramu wa Binadamu itasaidiwa na Sekretariati ambayo itajumuisha watu wasiozidi nane watakaoteuliwa na Waziri. (3) Sekretariati itawajibika kuishauri Kamati ya Kuzuia Usafirishaji Haramu wa Binadamu kuhusu masuala yanayohusiana na usimamizi wa jumla wa Sheria hii na masuala mengine yatakayoelekezwa kwa Waziri. (4) Sekretariati itaongozwa na Katibu ambaye atateuliwa na Rais kutoka Maafisa Waandamizi wa umma. Muundo wa 31.-(1) Kamati ya Kuzuia Usafirishaji Haramu wa Kamati ya Kuzuia Binadamu utaundwa na Usafirishaji a. m w e n y e k i t i a m b a y e a n a t e u l i w a Haramu wa na Waziri kutoka kwa watu Binadamu. ambao wanashikilia au wamewahi kushikilia nafasi za Mkurugenzi wa Uhamiaji, Mkurugenzi Mkuu wa Polisi au Mkurugenzi wa Idara ya Intelenjisia na Usalama; b. m w a k i l i s h i kutoka Wizara i n a yo h u s i k a n a Ustawi wa jamii ambaye hayuko chini ya cheo cha Mkurugenzi Msaidizi; c. m w a k i l i s h i wa Wizara inayohusika na wanawake na w a t o t o ambaye hayuko chini ya cheo cha Mkurugenzi Msaidizi; d. m w a n a s h e r i a k u t o k a O f i s i y a Mwanasheria Mkuu wa Serikali ambaye hayuko chini ya cheo cha Wakili wa Serikali Mwandamizi; e. m w a k i l i s h i k u t o k a W i z a r a y a S e r i k a l i y a M i t a a ambaye hayuko chini ya cheo cha Mkurugenzi Msaidizi; f. wato watano wakiwa ni wawakilishi kila mmoja kutoka Jeshi la Polisi, Jeshi la Magereza, Uhamiaji, Idara ya Usalama wa Taifa na Idara ya wakimbizi g. mwakilishi wa Wizara inayohusika na mambo ya nje; h. mwakilishi kutoka Idara ya Kazi ambaye hayuko chini ya cheo cha Kamishna Msaidizi wa Kazi; i. mwakilishi mmoja akiwakikisha sekta binafsi kama atavyopendekezwa na vyama visivyo vya 20

Serikali; j. mwakilishi k utok a Wizara in a yohusik a na ustawi wa jamii kwen ye Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar; k. mwakilishi kutoka Wizara inayohusika na wwnawake na watoto kutoka Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar; l. mwakilishi kutoka muungano wa vyama visivyo wa kiserikali vilivyoko Zanziba; m. mwakilishi kutoka Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora; na n. wawakilishi wawili kutoka vvyama visivyo vya Serikali watakaoteuliwa na Waziri. (2) Mwenyekiti na wajumbe wengine wa Kamati ya Kuzuia Usafirishaji Haramu wa Binadamu watateuliwa na kuwajibika kwa Waziri.

Kazi ya Kamati ya 32. Kamati ya Kuzuia Usafirishaji Haramu wa Kuzuia Binadamu watafanya kazi zifuatazoUsafirishaji a. kuratibu shughuli za idara za serikali na haramu wa vyombo vya utekelezaji wa sheria Binadamu vvinavyojihusisha na mambo yanayohusiana na usafirishaji haramu wa binadamu; b. kutoa mapendekezo ya mpango ya taifa kwa ajili ya kikabiliana na usafirishaji haramu wa binadamu; c. k u m s h a u r i w a z i r i k u h u s u m a m b o ya sera yanayoendana na usafirishaji haramu wa binadamu; d. kutoa ushauri kuhusiana na upelelezi na uendeshaji mashtaka wa makosa yana yohusu usafirishaji haramu wa binadamu; e. kupendekeza na kuhimiza mbinu za kuzuia na kupambana na usafirishaji haramu wa binadamu; f. k u w a s i l i a n a n a w a k a l a z a S e r i k a l i na mashirika yasiyo ya kiserikali katika kuwatibu na kuwarudisha kwenye jamii wahanga wa usafirishaji haramu wa binadamu; g. kuendana na viwango vya maendeleo ya kimataifa na kikanda katika kuzuia na kupambana na usafirishaji haramu wa 21

binadamu ; na h. kutayarisha taratibu za utoaji wa fedha kutoka kwenye mfuko; na i. kushulikia suala lolote linalohusiana na usafirishaji haramu wa binadamu. Vikao vya kamati 33.-(1) Kamati ya Kuzuia Usafirishaji Haramu wa ya Kuzuia Binadamu inaweza kukutana katika muda ambao Mwenyekiti usafirishaji anaweza kuamua ikiwa italazimika kukutana angalau mara haramu wa moja kila baada ya miezi mitatu. Binadamu (2) M w e n y e k i t i a t a o n g o z a m i k u t a n o ya Kamati ya Kuzuia Usafirishaji Haramu wa Binadamu ikiwa Mwenyekiti hatakuwepo, mjumbe wa Kamati ya Kuzuia Usafirishaji Haramu wa Binadamu atakayechaguliwa na wajumbe watakaokuwepo ataongoza.

SEHEMU YA VII MASHARTI MADOGO Ulinzi wa kisheria 34.-(1) Mhanga wa usafirishaji haramu wa binadamu kwa watu hatatakiwa kushtakiwa au kuadhibiwa kwa makosa ambayo waliosafirishwa yanahusiana moja kwa moja na mashtaka ya makosa ambayo kiharamu. yametajwa kwenye Sheria hii. (2) B i l a k u j a l i m a s h a r t i y a S h e r i a y a Uhamiaji, katika kumuondoa mhamiaji haramu, mhanga wa usafirishaji haramu wa binadamu aliye nchini kiharamu anaweza kubaki ndani ya Jamhuri ya Muungano katika kipindi chote cha upelelezi na uendeshaji wa mashtaka wa mkosaji na Serikali itaweka utaratibu wa kumrudisha mtu huyo kwao baada ya kukamilika kwa taratibu za kisheria. (3) Ikiwa ni kwa maslahi wa mhanga wa usafirishaji haramu wa binadamu anaweza kubaki ndani ya Jamuhuri ya Muungano baada ya taratibu za kisheria na kwa kibali cha Waziri anayehusika na mambo ya ndani. (4) Mtu anayeruhusiwa kubaki ndani ya Jamhuri ya Muungani kwa mujibu wa kifungu kidogo cha (3) atakaa kwenye kituo cha mapokezi kitakachotolew na Serikali ambapo mtu huyo atapatiwa mahitaji yote 22

ya msingi mpaka pale atakapopata makazi ndani ya Jamhuri ya Muungano. (5) Baada ya kumtia hatiani mtu anayetuhumiwa kwa kosa la usafirishaji haramu wa binadamu, mhanga wa usafirishaji haramu wa binadamu a t a k a a k w e n y e kituo cha Serikali ambapo mtu huyo atapatiwa mahitaji yote ya msingi mpaka pale atakapopata makazi ndani ya Jamhuri ya Muungano.

Ulinzi wajumbe

kwa

35. Hakuna kitendo au kitu au kutofanya kitu kutakakofanywa na mjume wa Kamati ya Kuzuia Usafirishaji Haramu wa Binadamu au Sekretariati, kama kumefanywa au kumeshindwa kufanyika, kwa nia njema katika utekelezaji wa kazi au katika kutumia mamlaka chini ya Sheria hii, kutawafanya kuwajibika wao wenyewe kwa kutenda au kushindwa.

Matumizi ya sheria n yingine.

36.-(1) Mtu ambaye si raia za Tanzania ambaye anafanya kosa la usafirishaji haramu wa binadamu atawajibika kwenye mwenendo wa kusafirishwa chini ya Sheria ya Kubalishana. (2) Masharti ya Sheria hii kama ambavyo yatahusiana na mamlaka ya afisa wa polisi, yatakuwa ni nyongeza ya mamlaka yaliyotolewa chini ya Sheria ya Polisi na sheria zinazohusiana na mwenendo wa makosa ya jinai isipokuwa kwamba, kama kuna mgongano, Sheria hii itatumika. 37. Waziri anaweza kwa kushauriwa na Kamati ya Kuzuia Usafirishaji Haramu wa Binadamu, kutengeneza kanuni zikieleza(a) hatua za kuzuia zinazotakiwa kuchukuliwa na vyombo mbalimbali vya serikali dhidi ya usafirishaji haramu wa binadamu kwa kazi za kinyonyaji; (b) mafunzo ya kupambana na na usafirishwaji haramu wa binadamu kwa wafanyakazi wa vyombo vya usalama; (c) k u k u s a n y a t a k w i m u n a k u b a d i l i s h a n a taarifa zinazohusiana na usafirishaji haramu wa binadamu; (d) matibabu na kuwarudisha kwenye jamii wahanga wa usafirishaji haramu wa binadamu; (e) utaratibu wa kuwalinda, kuwatibu na msaada katika kuwashughulikia watoto ambao ni wahanga wa usafirishaji haramu wa

Sura ya 214 Sura ya 20

Kanuni

23

binadamu; na (f) j a m b o lolote ili kufanikisha utekelezaji mzuri wa Sheria hii SEHEMU YA VIII MAREKEBISHO YA SHERIA YATOKANAYO Kufutwa kwa kifungu cha 139A, Sura ya 16 Kurekebishwa kwa kifungu cha 148, Sura ya 20

38. Sheria ya Kanuni ya Adhabu inarekebishwa kwa kufutwa kifungu cha 139A. 39. Sheria ya Mwenendo wa Makosa ya Jinai inarekebishwa katika kifungu cha 148(5) kwa kutoa nukta iliyopo kwenye aya ndogo ya (v) ya aya ya (a) na badala yake kuweka koloni ndogo na baada ya hapo kuongeza yafuatayo"(vi) usafirishaji haramu wa binadamu chini ya Sheria ya Kuzuia Usafirishaji haramu wa Binadamu.”

Kurekebishwa kwa 40. Sheria ya Uhamiaji inarekebishwa katika kifungu kifungu cha 10, cha 10(1) kwa kuondoa nukta iliyopo katika aya ya (k) na Sura ya 54 badala yake kuweka koloni ndogo na baada ya hapo kuongeza aya ifuatayo"(l) mtu ali yefan ya kosa la usafirishaji haramu wa b i n a d a m u ." Kurekebishwa kwa 41. Sheria ya Kuzuia Usafirishaji Haramu wa kifungu cha 3, Sura Fedha inarekebishwa katika kifungu cha (3) kwa kuondoa ya 423 aya ya (e) inayoonekana katika maana ya "predicate offence" na badala yake kuweka aya ifuatayo"(e) usafirishaji haramu wa binadamu na kuvusha wahamiaji haramu kinyume na sheria.

Imepitishwa na Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania terehe 11 April, 2008

24

SHERIA YA KUZUIA USAFIRISHAJI HARAMU WA BINADAMU (anti ...

SHERIA YA KUZUIA USAFIRISHAJI HARAMU WA BINADAMU (anti human trafficking Act).pdf. SHERIA YA KUZUIA USAFIRISHAJI HARAMU WA BINADAMU ...

105KB Sizes 27 Downloads 319 Views

Recommend Documents

SHERIA YA KUZUIA UGAIDI.pdf
There was a problem previewing this document. Retrying... Download. Connect more apps... Try one of the apps below to open or edit this item. SHERIA YA ...Missing:

SHERIA YA MWENENDO WA MAKOSA YA JINAI (CPA).pdf ...
Page 2 of 928. Page 3 of 928. Page 3 of 928. SHERIA YA MWENENDO WA MAKOSA YA JINAI (CPA).pdf. SHERIA YA MWENENDO WA MAKOSA YA JINAI ...

SHERIA YA MWENENDO WA MAKOSA YA JINAI (CPA).pdf ...
SHERIA YA MWENENDO WA MAKOSA YA JINAI (CPA).pdf. SHERIA YA MWENENDO WA MAKOSA YA JINAI (CPA).pdf. Open. Extract. Open with. Sign In.

PCCA ACT (sheria ya kupambana na kuzuia rushwa).pdf
59. Regulations. 60. Repeal. Page 3 of 37. PCCA ACT (sheria ya kupambana na kuzuia rushwa).pdf. PCCA ACT (sheria ya kupambana na kuzuia rushwa).pdf.

ORODHA-YA-MAJINA-YA-WATUMISHI-WA-UMMA-WANAOSTAHILI ...
Retrying... Download. Connect more apps... Try one of the apps below to open or edit this item. ORODHA-YA-MAJINA-YA-WATUMISHI-WA-UMMA-WANA ... IKIZO-YA-MISHAHARA-ilovepdf-compressed.pdf. ORODHA-YA-MAJINA-YA-WATUMISHI-WA-UMMA-WANA ... IKIZO-YA-MISHAHA

Utumiaji wa Mayai ya Kware.pdf
Sign in. Page. 1. /. 1. Loading… Page 1 of 1. Sl no. Rollno NAME DOB Posting. 1 1201000028 LAKSHMINARAYANA S 23/01/1990 Mysuru. 2 1201000036 ...

ORODHA YA MAJINA YA WATUMISHI WA UMMA WANAOSTAHILI ...
Page 1 of 376. JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA. WIZARA YA FEDHA NA MIPANGO. TANGAZO LA MAJINA YA WATUMISHI WA UMMA WANAOSTAHILI KULIPWA MADAI YA MALIMBIKIZO YA MISHAHARA BAADA YA UHAKIKI. S/NO. VOTE VOTE_NAME EMPLOYEE FIRST_NAME MIDDLE_NAME ...

ORODHA-YA-MAJINA-YA-WATUMISHI-WA-UMMA ...
Loading… Whoops! There was a problem loading more pages. Whoops! There was a problem previewing this document. Retrying... Download. Connect more apps... Try one of the apps below to open or edit this item. Main menu. There was a problem previewing

NAFASI 25 ZA KAZI MTENDAJI WA KIJIJI III HALMASHAURI YA ...
174 inc. 5° del Código Penal) por parte del presidente de la Nación,. Ing. Mauricio Macri, el presidente del Banco Central de la República Argentina. (BCRA) ... Displaying NAFASI 25 ZA KAZI MTENDAJI WA KIJIJI III HALMASHAURI YA WILAYA YA URAMBO T

MPANGILIO WA MAJINA YA KUMBI ZA WASAILIWA.pdf
2 days ago - POST: SYSTEM ANALYST II ... S/N NAME. 1 ABASS YUSSUF ..... Displaying MPANGILIO WA MAJINA YA KUMBI ZA WASAILIWA.pdf. Page 1 ...

katiba ya muungano wa Tanzania 1977.pdf
43.Masharti ya kazi ya Rais. Page 3 of 113. katiba ya muungano wa Tanzania 1977.pdf. katiba ya muungano wa Tanzania 1977.pdf. Open. Extract. Open with.

Orodha-ya-Walimu-wa-Shahada-wa-Ajira-Mpya-kwa ...
Retrying... Whoops! There was a problem previewing this document. Retrying... Download. Connect more apps... Try one of the apps below to open or edit this item. Main menu. Whoops! There was a problem previewing Orodha-ya-Walimu-wa-Shahada-wa-Ajira-M

ORODHA-YA-MAJINA-YA-WANAFUNZI-WALIOCHAGULIWA-KIDATO ...
Page 1 of 15. S/N NAMBA YA. MTIHANI. JINSIA JINA KAMILI SHULE ATOKAYO TAHASUSI. SHULE. AENDAYO. WILAYA YA. SHULE. AENDAYO. MKOA WA.

HOTUBA YA WAZIRI WA FEDHA - 2015-16 FINAL (3).pdf ...
Sign in. Page. 1. /. 4. Loading… Page 1 of 4. Page 1. Whoops! There was a problem loading this page. Retrying... Whoops! There was a problem loading this ...

ORODHA-YA-MAJINA-YA-WATUMISHI-WALIOBADILISHIWA-VITUO ...
Gerald. Muuguzi daraja la II Halmashauri ya. wilaya ya Rugwe. Halmashauri ya. Wilaya ya Karatu. 2. Lina Efrem Mrema Afisa Muuguzi. Msaidizi daraja la II. Halmashauri ya. wilaya ya ... Page 3 of 3. Main menu. Displaying ORODHA-YA-MAJINA-YA-WATUMISHI-W

IZA WA
Aug 3, 2010 - for clarity of illustration;. ' FIG. 13 is a side elevational ... with its new line of tufting, is advanced one step in readiness to receive the next line of.

WA - Washington_State_Incident_Field_Operations_Guide.pdf ...
Page 1 of 5. 1. Washington State Incident Field Operations Guide. COMMUNICATIONS. Introduction. This Radio Communications Guide is based on ...

MPANGILIO WA KADA NA KUMBI ZA USAILI WA MCHUJO.pdf ...
RESEARCH TECHNICIAN - TAFIRI ... ASSISTANT ACCOUNTANT - TEMESA ... Displaying MPANGILIO WA KADA NA KUMBI ZA USAILI WA MCHUJO.pdf.

HUZUNI YA JINSI YA MUNGU-3.pdf
Whoops! There was a problem loading more pages. Whoops! There was a problem previewing this document. Retrying... Download. Connect more apps.

Jumapili ya 5 ya Kwaresima A 2017.pdf
Jumapili ya 5 ya Kwaresima A 2017.pdf. Jumapili ya 5 ya Kwaresima A 2017.pdf. Open. Extract. Open with. Sign In. Main menu.

HUZUNI YA JINSI YA MUNGU... Wiki 1.pdf
There was a problem previewing this document. Retrying... Download. Connect more apps... Try one of the apps below to open or edit this item. HUZUNI YA ...